UTEKELEZAJI
wa miradi kupitia fedha za mpango wa maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na
Mapambano dhidi ya UVIKO-19 umeendelea kwa kasi mkoani Mwanza.
Tunamshukuru
Rais wetu Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa ubunifu wake wa kutafuta vyanzo
mbalimbali vya fedha kuhakikisha miradi inatekelezeka.
Kupitia
fedha hizi tumeweza kuyafikia maeneo ya Mlima wa Rada, Nyamhongolo,
Ihila- Buhongwa, Luchelele-Mnangani na Kambarage ambayo yalikuwa na
changamoto kubwa ya upatikanaji wa huduma ya maji.
Wana Mwanza tunasema asante sana Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
#kaziinaendelea
No comments:
Post a Comment