
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea 
Taarifa ya Kikosi Kazi cha kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya 
Vyama vingi vya Siasa kutoka kwa Mwenyekiti wa Kikosi Kazi hicho Profesa
 Rwekaza Mukandala Ikulu Jijini Dar es Salaam.  
  
  
  
  
  
  
 
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza
 na Wajumbe wa Kikosi Kazi cha kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya 
Vyama vingi vya Siasa mara baada ya kupokea Taarifa yao Ikulu Jijini Dar
 es Salaam   
  
 
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza
 na Wajumbe wa Kikosi Kazi cha kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya 
Vyama vingi vya Siasa mara baada ya kupokea Taarifa yao Ikulu Jijini Dar
 es Salaam.  
  
 
Wajumbe
 wa Kikosi Kazi cha kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama vingi
 vya Siasa wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. 
Samia Suluhu Hassan alipokua akizungumza nao mara baada ya kupokea 
Taarifa yao Ikulu Jijini Dar es Salaam   
  
  
  
 
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa 
katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Kikosi Kazi cha kuratibu Maoni ya 
Wadau wa Demokrasia ya Vyama vingi vya Siasa mara baada ya kupokea 
Taarifa yao Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 21 Machi, 2022. PICHA 
NA IKULU
Post Top Ad
 Your Ad Spot
Monday, March 21, 2022
Home
KITAIFA
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN APOKEA TAARIFA YA KIKOSI KAZI CHA KURATIBU MAONI YA WADAU WA DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI VYA SIASA,IKULU DAR ES SALAAM
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN APOKEA TAARIFA YA KIKOSI KAZI CHA KURATIBU MAONI YA WADAU WA DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI VYA SIASA,IKULU DAR ES SALAAM
Tags
KITAIFA# 
![Author Image]() 
      
Share This 
About kilole mzee
KITAIFA
Labels:
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
 Your Ad Spot
 
 
 
No comments:
Post a Comment