Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Samia Suluhu Hassan alitembelea
banda la Benki ya Equity lililopo Mlimani City apo Jana kwenye
maadhinisho ya Wiki ya Maji ambako alipata maelezo kutoka kwa Kaimu
Mkurugenzi Mtendaji Bi. Isabela Maganga, namna Benki ya Equity ilivyo
mstari wa mbele kuhakikisha inachangia juhudi za serikali katika
upatikanaji wa maji safi.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Wednesday, March 23, 2022
RAIS SAMIA ATEMBELEA BANDA LA BENKI YA EQUITY
Tags
BIASHARA#
Share This
About kilole mzee
BIASHARA
Labels:
BIASHARA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment