RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akisalimiana na Rais Mstaafu wa Tanzania Mhe.Dkt.Jakaya Mrisho
Kikwete ambae pia na Mwenyekiti wa Taasisi ya ( GWPSA ) alipowasili
katika viwanja vya Ukumbi wa Hoteli ya Melia Kiwengwa Mkoa wa Kaskazini
Unguja kwa ajili ya kufungua wa Mkutano Mkuu wa Uwekezaji wa Sekta ya
Maji Barani Afrika, uliofanyika leo 11-3-2022.(Picha na Ikulu)
WASHIRI
wa Mkutano Mkuu wa Uwekezaji wa Sekta Maji Barani Afrika wakimsikiliza
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia na kuufungua mkutano huo uliofanyika
katika ukumbi wa Hoteli ya Melia Kiwengwa Mkoa wa Kaskazini Unguja leo
11-3-2022..(Picha na Ikulu)
BAADHI
ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya
Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Uwekezaji wa Sekta ya Maji Barani Afrika
wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akiufungua mkutano huo
uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Melia Kiwengwa Mkoa wa Kaskazini
Unguja leo 11-3-2022.(Picha na Ikulu)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Saturday, March 12, 2022
Home
KIMATAIFA
RAIS HUSSEIN MWINYI AFUNGUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA UWEKEZAJI SEKTA YA MAJI BARANI AFRIKA UKUMBI WA HOTELI YA MELIA KIWENGWA.
RAIS HUSSEIN MWINYI AFUNGUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA UWEKEZAJI SEKTA YA MAJI BARANI AFRIKA UKUMBI WA HOTELI YA MELIA KIWENGWA.
Tags
KIMATAIFA#
Share This
About kilole mzee
KIMATAIFA
Labels:
KIMATAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment