A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Wednesday, June 26, 2019

Chama aongeza mkataba Simba SC


Mchezaji Clatous Chama ameongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kuichezea Simba SC ambao ndio mabingwa wa Ligi Kuu Soka Tanzania Bara (TPL).

Kwa msimu uliomalika, Chama atakumbukwa kwa kufanga magoli ya mwisho ambayo yalipeleka timu hiyo kwenye hatua ya makundi na robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages