A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Thursday, February 28, 2019

TANROADS NA JICA WASAINI MKATABA UPANUZI BARABARA YA MWENGE-MOROCCO

????????????????????????????????????
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Isack Kamwelwe akifafanua jambo katika hafla ya kusaini makubaliano ya ujenzi wa Barabara ya Morocco- Mwenge KM 4.3 kati ya Tanroads na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan (JICA) jijini Dar es Salaam leo.
????????????????????????????????????
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Nchini (Tanroads), Eng. Patrick Mfugale (kushoto) akitoa maelezo mafupi katika hafla ya kusaini makubaliano ya ujenzi wa Barabara ya Morocco-Mwenge KM 4.3 kati ya Tanroads na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan (JICA) jijini Dar es Salaam leo.
????????????????????????????????????
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Nchini (Tanroads), Eng. Patrick Mfugale (kushoto) na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan (JICA), Bw. Hayakazu Yoshida (kulia) wakisaini makubaliano ya ujenzi wa Barabara ya Morocco-Mwenge KM 4.3 jijini Dar es Salaam leo.
????????????????????????????????????
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Nchini (Tanroads), Eng. Patrick Mfugale (kushoto) na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan (JICA), Bw. Hayakazu Yoshida (kulia) wakibadilishana hati za mkataba mara baada ya kusaini makubaliano ya ujenzi wa Barabara ya Morocco-Mwenge KM 4.3 jijini Dar es Salaam leo.
????????????????????????????????????
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Isack Kamwelwe (wa pili kulia) pamoja na viongozi wengine meza kuu wakifuatilia matukio anuai katika hafla ya kusaini makubaliano ya ujenzi wa Barabara ya Morocco-Mwenge KM 4.3 kati ya Tanroads na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan (JICA) jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Katibu Mkuu sekta ya Ujenzi Arch. Elius Mwakalinga.
????????????????????????????????????
Baadhi ya watendaji wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano pamoja na wawakilishi wa Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan (JICA) katika hafla ya kusaini makubaliano ya ujenzi wa Barabara ya Morocco-Mwenge KM 4.3.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages