A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Thursday, February 7, 2019

MATUKIO MBALIMBALI YA BUNGENI LEO JIJINI DODOMA


PMO_8535
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa  na Michezo, Dkt.  Harrison Mwakyembe (kulia) akizungumza na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, (Kazi, Vijana na Ajira), Anthony Mavunde, bungeni jijini Dodoma, Februari 7, 2019.
PMO_8642
PMO_8648
 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama akizunguma na Naibu Waziri wa Kilimo, Innocent  Bashungwa, Bungeni jijini Dodoma, Februari 7, 2019.
PMO_8707
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt.  Phillip Mpango, bungeni jijini Dodoma, Februari 7, 2019.
PMO_8743
 Mbunge wa zamani, Semindu Pawa akitambulishwa bungeni jijini Dodoma, Februari 7, 2019.
PMO_8796
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na walimu na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Ufundi ya Kilosa mkoani Morogoro kwenye viwanja vya bunge jijini Dodoma, Februari 7, 2019.
PMO_8866
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na walimu na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya St. Monica ya Arusha kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Februari 7, 2019. Kushoto kwake ni Mbunge wa Viti Maalum, Cecilia Pareso na kulia kwa Waziri Mkuu ni  Mwalimu Mkuu  wa shule Msaidizi, Sista Colletah.
PMO_8886
PMO_8912
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi  ya Assumption ya Arusha, Ritta Deo Moshi kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Februari 7, 2019. Mtoto huyo na wenzake walikwenda bungeni kujifunza shughuli mbalimbali za Bunge. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages