A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Wednesday, January 30, 2019

MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

PMO_0181
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nishati na Mbunge wa Chato, Dkt. Medard Kalemani, Bungeni jijini Dodoma, Januari 30, 2019. 
PMO_0282
   Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wabunge kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Januari 30, 2019. Kutoka kushoto ni Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba, Mbunge wa Kiembe Samaki, Ibrahim Raza, Mbunge wa Kwimba, Shanif Mansoor na Mbunge wa Mpwapwa, George Lubeleje.
PMO_0309
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Januari 30, 2019.
PMO_0320
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Viti Maalum, Mwanne Nchemba kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Januari 30, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PMO_0463
PMO_0465
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana na Wenye Ulemavu ambaye pia ni Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama (wapili kulia), Mbunge wa Kasulu Mjini, Daniel Nsanzugwako (kushoto), Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja (wapili kushoto) na Mbunge wa Igunga,  Dkt. Dalaly Kafumu , kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Januari 30, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages