A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Saturday, March 24, 2018

Ujerumani na Hispania 1-1

Mshambuliaji wa Hispania, Diego Costa akijaribu kuurukia mpira dhidi ya mabeki wa Ujrumani kwenye boksi katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa ESPRIT arena mjini Dusseldorf, Ujerumani. Timu hizo zilifungana 1-1, Rodrigo akianza kuifungia Hispania dakika ya sita kabla ya Thomas Muller kuisawazishia Ujerumani dakika ya 35.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages