Mshambuliaji wa Atletico Madrid, Antoine Griezmann (kushoto) akigombea mpira na beki wa Colombia, Frank Fabra katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Colombia ilishinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Luis Muriel dakika ya 28, Radamel Falcao dakika ya 62 na Juan Quintero dakika ya 85 kwa penalti, ya Ufaransa iliyomuanzishia benchi kiungo wake Paul Pogba, yakifungwa na Olivier Giroud na Thomas Lemar .
Post Top Ad
Your Ad Spot
Saturday, March 24, 2018
Colombia yainyuka Ufaransa 3-2
Tags
MICHEZO#
Share This
About kilole mzee
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment