Waziri wa Fedha na Mipango,
Mhe. Dkt Philip Isdor Mpango (Mb), akiwasilisha Bungeni Hali ya Uchumi wa Taifa
katika mwaka 2016, Mjini Dodoma, ambapo katika mwaka huo, pato la Taifa lilikua
kwa asilimia 7.0, likichangiwa na kukua kwa sekta ya ufuaji umeme, kuimarika
kwa huduma za usafirishaji na uhifadhi wa mizigo, sekta ya habari na
mawasiliano, ujenzi na uchimbaji wa madini na mawe.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Thursday, June 8, 2017
Home
Unlabelled
WAZIRI MPANGO AWASILISHA TAARIFA YA HALI YA UCHUMI KATIKA MWAKA 2016 BUNGENI MJINI DODOMA
WAZIRI MPANGO AWASILISHA TAARIFA YA HALI YA UCHUMI KATIKA MWAKA 2016 BUNGENI MJINI DODOMA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment