LEO
Yuan ya China inanunuliwa kwa shilingi 362.06 huku ikiuzwa kwa shilingi
365.21 na Yen ya Japan inanunuliwa kwa shilingi 19.73 na kuuzwa kwa
shilingi 19.92.
Randi
ya Afrika Kusini inanunuliwa kwa shilingi 151.6 na kuuzwa kwa shilingi
153.02 huku shilingi ya Kenya ikinunuliwa kwa shilingi 20.1 na kuuzwa
kwa shilingi 20.21.
Franka
ya Burundi inanunuliwa kwa shilingi 2.19 na kuuzwa kwa shilingi 2.21
huku dola ya Marekani nchini ikinunuliwa kwa Shilingi 2287.01 na kuuzwa
kwa Shilingi 2309.9.
Hayo
ni kwa mujibu wa taarifa ya viwango elekezi vya kubadilisha fedha za
kigeni iliyotolewa leo Machi 11, 2022 na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Aidha,kwa
mujibu wa BoT, Paundi ya Uingereza inanunuliwa kwa Shilingi 3012.221
huku ikiuzwa kwa Shilingi 3043.27 na Euro ya Ulaya inanunuliwa kwa
shilingi 2536.523 na kuuzwa kwa shilingi 2562.81.
Wakati
huo huo, Franka ya Rwanda inanunuliwa kwa shilingi 2.22 na kuuzwa kwa
shilingi 2.25 huku shilingi ya Uganda ikinunuliwa kwa shilingi 0.61 na
kuuzwa kwa shilingi 0.64.
No comments:
Post a Comment