A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Tuesday, June 15, 2021

RAIS SAMIA AZUNGUMZA NA VIJANA MKOANI MWANZA

 



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Vijana wa Mkoa wa Mwanza leo tarehe 15 Juni, 2021 katika mkutano uliofanyika katika uwanja wa Nyamagana mkoani Mwanza.




Vijana mbalimbali wa Mkoa wa Mwanza pamoja na maeneo mbalimbali nchini wakicheza katika shamrashamra za mkutano wao huo kabla ya kuanza kusikiliza hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan. PICHA NA IKULU.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages