A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Thursday, June 24, 2021

BENKI YA LETSHEGO YATOA MISAADA KWA SHULE YA SEKONDARI YA JUHUDI, MKOANI DAR ES SALAAM


Wafanyakazi wa Benki ya Letshego, Selestino Nachenga (kushoto), Leah Phili (wa pili kushoto) na Ludovick Lugalema (katikati) wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Juhudi katika picha ya pamoja baada ya kupokea misaada.
Msimamizi wa Masoko wa Benki ya Letshego, Selestino Nachenga akikabidi Jezi kwa wanafunzi wa Sekondari ya Juhudi.

Meneja wa Benki ya Letshego tawi la Temeke, Leah Phili (kushoto) akibadilishana mawazo na Mkuu wa Shule ya Juhudi na Mjumbe wa Bodi wa Shule ya Sekondari ya Juhudi.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages