A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Friday, April 30, 2021

Hii Ndio Sekretarieti Ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)

 


Shaka Hamdu Shaka ameteuliwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi  Chama Cha Mapinduzi (CCM) kushika nafasi ya Mtangulizi wake Hamfrey Polepole. Ameteuliwa leo jijini Dodoma mara baada ya Mkutano Mkuu wa Chama hicho Kumchagua Mwenyekiti wa Chama hicho, Rais Samia Suluhu Hassan.

KATIBU Mkuu wa  Chama Cha Mapinduzi (CCM)- Ndg Daniel Chongolo (Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya Kinondoni) na Naibu Katibu Mkuu  Chama Cha Mapinduzi(CCM)ni Aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Ruvuma, Christina Mdeme.

Katibu wa Itikadi na Uenezi  Chama Cha Mapinduzi (CCM), Shaka Hamdu Shaka, ameshika nafasi ya aliyekuwa Katibu mkuu wa chama hicho, Hamfrey Polepole.

Katibu wa Uchumi na Fedha  Chama Cha Mapinduzi (CCM), Frank George Hawasi aendelee na nafasi yake, Katibu wa Tume ya Uchaguzi Tanzania (NEC) Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Ngebela Lubinga anaendelea na nafasi yake.

Katibu wa Tume ya Uchaguzi Tanzania (NEC) Oganaizesheni, Mama Maurdin Kastiko, ameshika nafasi ya Pereira Silima ambaye atapangiwa kazi nyingine ya kitaifa).

(Ndg Rodrick Mpogolo atapangiwa majukumu mengine ya kitaifa)

Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Juma Sadala Mabodi nae anaendelea na nafasi yake ya awali.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages