A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Friday, April 30, 2021

CHONGOLO ATEULIWA KUWA KATIBU MKUU CHAMA CHA MAPINDUZI, CHRISTINA MDEME KUWA NAIBU KATIBU MKUU

 

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amependekeza jina la aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Daniel Chongolo  kuwa Katibu Mkuu wa Chama Mapinduzi na kushika nafasi ya aliyekuwa katibu Mkuu wa Chama hicho Dkt. Bashiru Ally.

Hayo yametokea leo Mkoani Dodoma leo Aprili 30, 2021 mara baada Mwenyekiti wa CCM Rais Samia kushika kijiti cha aliyekuwa Mtangulizi wake, Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

Hata hivyo aliyekuwa  Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Chritina Mdeme ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages