Mwenyekiti Makampuni ya UBA, Tony O. Elumelu. |
NNPC, kwa kupitia Kampuni ya Maendeleo ya Petroli ya Nigeria (Nigerian Petroleum Development Company - NPDC), inahitaji jumla ya Dola za Marekani bilioni 1.5 ili kuongeza uwezo wake wa uzalishaji mafuta.
Benki ya UBA itatoa Dola za Marekani milioni 200 ili kuwezesha kuongezeka kwa kiwango cha uwekezaji cha kampuni hiyo pamoja na kuboresha ukwasi wake katika uendeshaji.
No comments:
Post a Comment