“Kazi aliyoifanya Mkapa ameifanya kwa nguvu zote, nawaomba wananchi wa kusini tumuenzi Mkapa kwa kuchapa kazi, tuna eneo zuri mno, ufuta unakubali, mahindi, korosho vyote vinakubali, na mifugo inakubali, tuchape kazi na tupendane, Kero ya Barabara (Kusini-DSM) hii nimeibeba” -JPM
“Tumeshalipa zaidi ya Tsh. Bilioni 800 kwa ajili ya korosho, tumemaliza na hii Tsh. Bilioni 20 (iliyotolewa juzi), tuendelee kushikamana na Serikali yetu na tuendelee kuchapa kazi, Mtwara na Lindi ya sasa sio kama ya kipindi cha nyuma, zinapendeza, zinafurahisha” - JPM
Post Top Ad
Your Ad Spot
Thursday, July 30, 2020
Home
KITAIFA
Wananchi wa kusini tuchape kazi na tupendane, Kero ya Barabara Kusini-DSM hii nimeibeba -JPM
Wananchi wa kusini tuchape kazi na tupendane, Kero ya Barabara Kusini-DSM hii nimeibeba -JPM
Tags
KITAIFA#
Share This
About kilole mzee
KITAIFA
Labels:
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment