“Kwa mujibu wa Sheria ya Barabara, Barabara ikishakua ya lami inapata 100% ya ukarabati (Maintanance), Fedha za Bodi ya Mfuko wa Barabara (Road Fund) sijui zinakwenda wapi!, Serikali haijalala, hili la ubovu wa Barabara (Kusini-DSM) nawahakikishia nitalishughulikia mwenyewe”-JPM
“Tunatuma fedha za Bodi ya Mfuko wa Barabara (Road Fund) na tunatuma fedha za Halmashauri haiwezekani Barabara mbovu Kusini -DSM, hakuna stendi Somanga, Uchaguzi unakuja, tujipange vizuri na tuchague wawakilishi ambao tutawabana na watatuwakilisha vizuri” -JPM
Post Top Ad
Your Ad Spot
Thursday, July 30, 2020
Tunatuma fedha za Bodi ya Mfuko wa Barabara, sijui zinakwenda wapi- JPM
Tags
KITAIFA#
Share This
About kilole mzee
KITAIFA
Labels:
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment