A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Wednesday, July 1, 2020

RC MAKONDA ATINGA JIMBO LA UBUNGO NA KUKABIDHI BIRADI KWA CHAMA CHA CCM

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda akizungumza na wakazi wa jimbo la Ubungo maeneo ya sinza kijiweni kunakojengwa barabara ya  njia nne wakati wa muendelezo wa ziara yake ya kukabidhi miradi Mbalimbali iliyotekelezwa na serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Dkt. John Magufuli kwa Chama cha Mapinduzi CCM na kuwataka wanaichi wa jimbo hilo kuto kurudia makosa yakuchakuga viongozi wasio jail maslahi ya wananchi
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Kisare Makori  akizungumza wakati wa ziara hiyo

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda akiongozana na Viongozi mbalimbali wa Serikali pamoja na Chama cha Mapinduzi CCM wakati wa muendelezo wa ziara yake ya kukabidhi miradi Mbalimbali iliyotekelezwa na serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Dkt. John Magufuli katiuka jimbo la Ubungo kwa Chama cha Mapinduzi CCM na kuwataka wanaichi wa jimbo hilo kuto kurudia makosa yakuchakuga viongozi wasio jail maslahi ya wananchi wao
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, Diwani wa Kata ya Vingunguti pia ni Meya wa Ilala Omari Kumbilamoto, Mbunge wa Jimbo la Kinondoni Maulid Mtulia, Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Kisare Makori,  pamoja na viongozi wengine wachama wakiwa katika ziara ya ikiwa ni muendelezo wa ziara hiyo jimbo la Ubungo.




 wakazi wa Sinza wakila kiapo cha kuapa kumpa kura Rais Magufuli wakati wa uchaguzi mkuu 2020




 MATUKIO KATIKA PICHA

 









 Baadhi ya wanachama wa CCM  na vijana wa hamasa wakifanya yao



















No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages