A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Thursday, June 18, 2020

YANGA YAIPONZA JKT


Serikali imezuia timu ya JKT Tanzania FC kucheza na mashabiki kwa mechi zake zote zilizosalia kwenye uwanja wake wa nyumbani wa Jamhuri Dodoma, kutokana na kukiukwa kwa mwongozo wa afya michezoni wakati wa mchezo kati ya timu hiyo na young Africans ya Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages