Serikali imezuia timu ya JKT Tanzania FC kucheza na mashabiki kwa mechi zake zote zilizosalia kwenye uwanja wake wa nyumbani wa Jamhuri Dodoma, kutokana na kukiukwa kwa mwongozo wa afya michezoni wakati wa mchezo kati ya timu hiyo na young Africans ya Dar es Salaam.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Thursday, June 18, 2020
Tags
MICHEZO#
Share This
About kilole mzee
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment