Maafisa wa Benki ya NMB, Ally Ngingite (kushoto) na Isaac Mgwassa (kulia) wakibadilishana mawazo na Kamishna Msaidizi; Tathmini na Ufuatiliaji, Semiyono. |
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, S.R. Handuni akifurahia jambo na Afisa wa Benki ya NMB, Amanda Feruzi. |
Ahadi hiyo imetolewa na Meneja Mwandamizi wa Wateja Binafsi na Kati wa NMB, Ally Ngingite, katika siku ya pili ya Kikao Kazi cha Maofisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi Makao Makuu, Makamanda wa Mikoa na Vikosi, kinachofanyika katika Bwalo la Maofisa wa Polisi, Oysterbay, Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment