A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Friday, September 13, 2019

MAVUNDE AKUTANA NA WAENDESHA BODA BODA NA BAJAJI,ASIKILIZA CHANGAMOTO ZAO


Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira ,ambaye pia ni  Mbunge wa Jimbo la Dodoma mjini,Mh Anthony Mavunde leo amekutana na Waendesha Boda Boda wa jimbo hilo na kusikiliza changamoto zao mbalimbali  walizonazo kwenye shughuli zao za kila siku . 

Mh Mavunde alisikiliza changamoto za Waendesha Boda boda na Bajaj na baadaye kuwakabidhi vifaa vya usalama wakati wakiendesha vifaa vyao vya moto (Safety Jackets) 600  pamoja na mafuta (OIL) dumu la lita 1 kwa watu  600 kutoka Kampuni ya Mafuta ya MOGAS.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages