A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Friday, August 16, 2019

MAHAKAMA’ YAMKATAA DISMAS TEN wa YANGA


MASHABIKI mbalimbali wa soka wamezungumzia kinachoendelea katika mitandao ya kijamii ikihusisha kutetereka kwa cheo cha ofisa habari wa klabu ya Yanga.
Hiyo imetokana na kutojaa kwa mashabiki wa Yanga uwanjani huku wapinzani wao Simba wakijaza uwanja.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages