Wafanyakazi wawili wa TARURA Mkoa wa Songwe wamefariki Dunia na wengine 3 kujeruhiwa baada ya gari waliyokuwa wamepanda kugongana na lori maeneo ya Izazi kata ya Izazi, barabara kuu ya Iringa-Dodoma, Kamanda wa Polisi Iringa Juma Bwire amethibitisha.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Tuesday, June 25, 2019
Wafanyakazi wawili wa TARURA wafariki kwa ajali
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment