Mshambuliaji wa timu ya Air Wing FC Maselo Said (kushoto), akimtoka Beki
wa Miembeni FC Tumpale Kasebele, wakati wa mchezo wa ligi ya PROPHET SUGUYE CUP
inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Dar es Salaam
ambapo katika mchezo huo Airwing ilishinda mabao 4-2
mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Wachezaji wa timu hizo wa kiwania mpira wakati wa mchezo wa ligi ya
PROPHET SUGUYE CUP
inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Dar es Salaam
ambapo katika mchezo huo Airwing ilishinda mabao 4-2 mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Mshambuliaji wa timu ya Airwing FC Mushta Thabiti (kulia), akijaribu kumtoka mchezaji wa Miembeni
FC, wakati wa mchezo wa ligi ya PROPHET SUGUYE CUP
inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Dar es Salaam,
Airwing ilishinda mabao 4-2 mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Mlinda mlango wa Miembeni FC Idris Abdalaah,
akijaribu kuokoa moja ya heka heka wakati wa mchezo wa ligi ya PROPHET SUGUYE CUP
inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Dar es Salaam
ambapo katika mchezo huo Airwing ilishinda mabao 4-2
mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
No comments:
Post a Comment