A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Monday, June 24, 2019

TIMU YA JESHI YAINYUKA MIEMBENI 4-2 LIGI YA PROPHET SUGUYE.

Mshambuliaji wa timu ya Air Wing FC Maselo Said (kushoto), akimtoka Beki wa Miembeni FC Tumpale Kasebele, wakati wa mchezo wa ligi ya PROPHET SUGUYE CUP inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Dar es Salaam ambapo katika mchezo huo Airwing ilishinda mabao 4-2 mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Wachezaji  wa timu hizo wa kiwania mpira wakati wa mchezo wa ligi ya PROPHET SUGUYE CUP inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Dar es Salaam ambapo katika mchezo huo Airwing ilishinda mabao 4-2 mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Mshambuliaji wa timu ya Airwing FC Mushta Thabiti (kulia), akijaribu kumtoka mchezaji wa Miembeni FC, wakati wa mchezo wa ligi ya PROPHET SUGUYE CUP inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Dar es Salaam, Airwing ilishinda mabao 4-2 mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Mlinda mlango wa Miembeni FC Idris Abdalaah, akijaribu kuokoa moja ya heka heka wakati wa mchezo wa ligi ya PROPHET SUGUYE CUP inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Dar es Salaam ambapo katika mchezo huo Airwing ilishinda mabao 4-2 mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages