A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Thursday, February 28, 2019

ETI TESSY KAMDILITI KABISA ASLAY


BAADA ya miezi kadhaa kupita tangu Aslay amwagane na mzazi mwenzake ,Tessy, hati­mae mwanadada huyo amefunguka.

Amedai kwamba kwa sasa hapotezi muda wake kumu­waza mwanaume huyo, kwani ame­shamsahau na sasa ana maisha yake mengine.

Akizungum­za na Spoti Xtra, Tessy alisema kuwa alipata shida mwanzoni lakini tangu agundue kwamba msanii huyo hakuwa chaguo lake alia­mua kuishi maisha yake.

“Nilipata shida sana mwanzo­ni, kila mtu alikuwa ananishauri anavyojua yeye, lakini nashuku­ru Mungu siku zilienda na sasa hivi nimesham­sahau kabisa.

“Kilichobaki kati yetu ni kumlea tu binti yetu Moza basi, pia sidhani kama naweza nikarudi tena kwake nina maisha yangu na ninayafu­rahia,” alisema Tessy

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages