A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Thursday, February 22, 2018

Kajala afunguka kuhusu Kampuni yake

MREMBO wa Bongo Muvi, Kajala Masanja amefunguka kuwa hakutelekeza kampuni yake ya filamu bali alikuwa bize na shughuli mbalimbali zisizohusu filamu.

Akizungumza na gazeti hili, Kajala alisema kuna shughuli nyingi za nje ya filamu alizokuwa akizifanya na kumuingizia kipato na kusababisha aipe kisogo kampuni yake kwa muda lakini kwa sasa ni wakati wa kuifufua kampuni yake ya Kay Internment.

“Nilisimama kidogo lakini kwa sasa nimeamua kurudisha mapenzi yangu kwenye ofisi yangu

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages