Ikiwa leo Septemba 28, 2017, mwigizaji mahiri Bongo, Wema Isaac Sepetu
almaarufu Keki ya Taifa, anasheherekea birthday yake, mashabiki wake
wameungana kwa pamoja na kumfanyia surprise akiwa saluni kwa kumpelekea
keki na shampeni wakiwa na matarumbeta.
Kitendo hicho cha kushtukiza kilimfurahisha Wema kiasi cha kujikuta akijichanganya nao na kuanza kukata nyonga za kufa mtu.
Wema amezaliwa Septemba 28, 1987 na leo ametimiza rasmi miaka 29.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Thursday, September 28, 2017
Team Wema wamfanyia suprise Wema katika siku yake ya kuzaliwa
Tags
BURUDANI#
Share This
About kilole mzee
BURUDANI
Labels:
BURUDANI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment