Mheshimiwa diwani akichanganya kuponi. Kazi ya kuchanganya kuponi ikiendelea. Mheshimiwa diwani akiwa ameshika kuponi ya ushindi, iliyotoka Gazeti la Championi. Mheshimiwa diwani akiwa ameiinua kuponi juu. Diwani Lema akisoma jina la mshindi wa nyumba, aliyemshikia kipaza sauti ni MC Chaku. Meneja wa Global Publishers, Abdallah Mrisho akizungumza kwenye droo hiyo kubwa ya Shinda Nyumba. Meneja Mrisho akipeana mikono na Diwani Lema Diwani Lema akizungumza na watu waliofika kushuhudia droo hiyo. Msomaji akichagua kuponi ya mshindi wa zawadi ya dinner set. Msomaji akichagua kuponi ya mshindi wa zawadi ya dinner set. Mhariri wa Uwazi, Elvan Stambuli (kulia) akiwa na mhariri mwenzake, Sifael Paul anayesimamia Gazeti la Ijumaa Wikienda. Abdallah
Hemed (kushoto), afisa kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha, akiandika
jambo huku akifuatilia droo hiyo, pembeni yake ni Meneja Mrisho.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Thursday, September 28, 2017
GLOBAL PUBLISHERS - MSOMAJI KUTOKA DODOMA AIBUKA MSHINDI WA NYUMBA
Tags
MICHEZO#
Share This
About kilole mzee
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment