Afisa Mtendaji wa kata ya Kunduchi Abel Silaa (kulia), akitoa cheti cha kuhitimu mafunzo ya ushonaji yaliyokuwa yakitolewa bure na Taasisi ya Binti Foundation wakati wa hafla ya yakuwaaga vijana 16 waliokuwa wakipatiwa mafunzo hayo. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Johari Sadiq pamoja na mwalimu mkuu wa mafunzo hayo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Binti Foundation, Johari Sadiq, akizungumza wakati wa hafla ya yakuwaaga vijana 16 waliokuwa wakipatiwa mafunzo ya ushonaji na ubunifu katika Taasisi hiyo mafunzo yaliyokuwa yakitolewa bure ikiwa ni muendelezo wa Taasisi hiyo kuwapatia nafasi vijana wa kitanzania ikiwa ni juhudi za Binti Binti foundation kuunga mkono serikali hasa katika soko la ajira.
No comments:
Post a Comment