A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Sunday, May 15, 2022

'Vile tunaamka na asilimia 23.3, asante Mama umeupiga mwingi sana'

 "Serikali imepanga kutumia kiasi cha shilingi trilioni 9.7 katika mwaka wa fedha 2022/23 kwa ajili ya kugharamia malipo ya mishahara ya watumishi wote katika Serikali Kuu, Serikali za Mitaa, Taasisi na Wakala za Serikali.

“Bajeti ya mishahara ya mwaka 2022/23 inaongezeko la shilingi trilioni 1.59 sawa na asilimia 19.51 ikilinganishwa na bajeti ya mwaka wa fedha wa 2021/22".

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages