A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Saturday, May 21, 2022

MAKAMU WA RAIS DK MPANGO AWASILI NCHINI USWISI

 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango leo tarehe 21 Mei akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Zurich uliopo Kloten nchini Uswisi,kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Uswisi mwenye makazi yake Berlin nchini Ujerumani Dkt. Abdallah Possi. Makamu wa Rais anashiriki Mkutano wa Jukwaa la Uchumi Duniani unaofanyika Davos nchini Uswisi.


No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Pages