Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango leo tarehe 21 Mei akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Zurich uliopo Kloten nchini Uswisi,kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Uswisi mwenye makazi yake Berlin nchini Ujerumani Dkt. Abdallah Possi. Makamu wa Rais anashiriki Mkutano wa Jukwaa la Uchumi Duniani unaofanyika Davos nchini Uswisi.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Saturday, May 21, 2022
MAKAMU WA RAIS DK MPANGO AWASILI NCHINI USWISI
Tags
KIMATAIFA#
Share This
About kilole mzee
KIMATAIFA
Labels:
KIMATAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment