A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Saturday, May 14, 2022

Balozi Prof.Adelardus Kilangi awasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Brazil

 

Balozi wa Tanzania nchini Brazil, Mhe. Prof. Adelardus Kilangi akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Brazil, Mhe. Jair Bolsonaro wakati wa hafla iliyofanyika hivi karibuni katika Ofisi za Rais za Palacio Do Planalto zilizopo Brasilia, Brazil.
Mhe. Rais Bolsonaro akionesha Hati za Utambulisho za Mhe. Balozi Kilangi mara baada ya kuzipokea wakati wa hafla iliyofanyika hivi karibuni katika Ofisi za Rais za Palacio Do Planalto zilizopo Brasilia, Brazil.
Mhe. Balozi Kilangi akiwa katika mazungumzo na Mhe. Rais Bolsonaro mara baada ya kuwasilisha hati zake za utambulisho.
Mhe. Balozi Kilangi akiwa na Mhe. Rais Bolsonaro.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages