Mwenyekiti
wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Bi. Zuhura Sinare
Muro akizungumza na wanahabari wakati wa tukio la wafanyakazi wanawake
wa TTCL na wengine kujumuika kuchangia damu ikiwa ni sehemu ya kujitoa
kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake. Zoezi hilo lililofanywa na
wanawake wa TTCL liliungwa mkono na wanaume pia. "Ukimuokoa Mwanamke
Umeiokoa Jamii"
Mwenyekiti
wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Bi. Zuhura Sinare
Muro akizungumza na wanahabari wakati wa tukio la wafanyakazi wanawake
wa TTCL na wengine kujumuika kuchangia damu ikiwa ni sehemu ya kujitoa
kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake. Zoezi hilo lililofanywa na
wanawake wa TTCL liliungwa mkono na wanaume pia. "Ukimuokoa Mwanamke
Umeiokoa Jamii"
Baadhi
ya wanawake wafanyakazi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL)
wakichangia damu ikiwa ni sehemu ya kujitoa kuelekea Maadhimisho ya Siku
ya Wanawake Duniani. Zoezi hilo pia liliungwa mkono na wanaume ambao
walijitoa kuchangia damu.
Mnasihi
kutoka Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI), Bi. Sophia Nasson akizungumza
na wanahabari wakati wa zoezi la wafanyakazi wa Shirika la Mawasiliano
Tanzania (TTCL) waliojitolea kuchangia damu ikiwa ni sehemu ya kuisaidia
jamii wahitaji wa damu.
Mtaalamu
wa Damu kutoka Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI) akimtoa damu mmoja wa
wafanyakazi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) waliojitolea
kuchangia damu ikiwa ni sehemu ya kuisaidia jamii wahitaji wa damu.
Zoezi la kuchangia damu likifanyika Makao Makuu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania Samora Jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment