Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na
serikali za mitaa TAMISEMI imeviagiza vyuo vyote vya elimu ya ufundi
nchini kutengeneza mfumo utakaomuwezesha kila mtu kupata taarifa mhimu
za udahili wa wananfunzi wanaochaguliwa na ofisi hiyo kujiunga na
taasisi mbalimbali za elimu.
Agizo hilo limetolewa na Mkurugenzi
wa elimu ya Sekondari TAMISEMI Bi. Hadija Mcheka kwenye mkutano wa
kujadili mafanikio na changamoto za udahili wa wananfunzi waliochaguliwa
na TAMISEMI kujiunga na vyuo vya elimu na mafunzo ya ufundi hapa
nchini.
Akizungumza kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara hiyo
Bi.Mcheka amesema kunachangamoto ya wananfunzi wanaochaguliwa kujinga na
vyuo vya elimu ya fundi hapa nchini kushindwa kuthibitisha kwa wakati
watajiunga na vyuo hivyo kwa sababu ya kutokupata taarifa kwa wakati
hasa wale waishio vijijini hali inayochangia kuwa na malalamiko mengi ya
wanafunzi kuuzwa kwa wanfasi zao.
Amesema kutokana na changamoto
hiyo TAMISEMI imewataka wakuu wa vyuo kusimamia udahili wa wanafunzi
wote wanajiunga katika vyuo vyao na kutafuta mbinu Rafiki ya kutoa
taarifa ambayo itawafikia wanafunzi wote pamoja na wavijijini ambao
wengi wamekuwa kukikosa taarifa kwa wakati.
Kwa upande wake Dokta
Jofrey Oleka Mkurugenzi ithibiti na ufuatiliaji tathimin NACTEVAT
amewataka wakuu vyuo udahili wa wanfunzi kwa kufuata misingi na muungozo
wa NACTEVAT kwa kuchua wanafunzi kutokana na uwezo wa chou.
Aidha
Serikali imelidhia ombi la wakuu wa vyuo la kufunguliwa kwa udahiri wa
mwezi watatu kwa wanafunzi wanajiunga na vyuo vya elimu ya ufundi
isipokuwa kwa wale wanaotaka kujiunga katika vyuo vya Afya mpaka pale
serikali itakapotoa tamko linguine.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Saturday, March 12, 2022
Home
LOCAL
OFISI YA RAIS TAMISEMI YAVITAKA VYUO VYA ELIMU YA UFUNDI KUTENGENEZA MFUMO RAFIKI WA UTOAJI TAARIFA.
OFISI YA RAIS TAMISEMI YAVITAKA VYUO VYA ELIMU YA UFUNDI KUTENGENEZA MFUMO RAFIKI WA UTOAJI TAARIFA.
Tags
LOCAL#
Share This
About kilole mzee
LOCAL
Labels:
LOCAL
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment