A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Monday, August 30, 2021

WAZIRI KITILA MKUMBO AZINDUA WIKI YA MAENDELEO YA VIWANDA NA BIASHARA KWA NCHI ZA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI JIJINI DAR ES SALAAM



Waziri wa Viwanda na Biahara Mh Kitila Mkumbo akizungumza na wadau mbalimbali wa sekta ya biashara viwanda na kilimo wakati wa hafla ya Wiki ya Maendeleo ya Viwanda na Biashara kwa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki uliohudhuriwa na viongozi wa nchi mbalimbali uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere JINCCRais wa Chemba ya Biashara Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA) Paul Koyi akizungumza na wadau mbalimbali wa sekta ya biashara viwanda na kilimo wakati wa hafla ya Wiki ya Maendeleo ya Viwanda na Biashara kwa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki uliohudhuriwa na viongozi wa nchi mbalimbali uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere JNICC

Waziri wa Viwanda na Biahara Mh Kitila Mkumbo akipata maelezo kutoka kwa Afisa Mhifadhi Msaidizi kutoka Tanapa Alais Munka (kulia) wakati alipotembelea banda lao wakati wa maonyesho ya Wiki ya Maendeleo ya Viwanda na Biashara kwa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki uliohudhuriwa na viongozi wa nchi mbalimbali uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere JNICC wengine pichani ni M aofisa kutoka Tanapa





Waziri wa Viwanda na Biahara Mh Kitila Mkumbo akipata maelezo kutoka kwa Afisa Mwandamizi wa Bodi ya Sukari Tanzania Grace Kabate wakati alipotembelea banda lao wakati wa maonyesho ya Wiki ya Maendeleo ya Viwanda na Biashara kwa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki uliohudhuriwa na viongozi wa nchi mbalimbali uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere JNICC


Waziri wa Viwanda na Biahara Mh Kitila Mkumbo akipata maelezo kutoka Mkurugenzi Mtendaji wa Mammy's Confectionery Munira Ndossy 
(kulia) wakati alipotembelea banda lao wakati wa maonyesho ya Wiki ya Maendeleo ya Viwanda na Biashara kwa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki uliohudhuriwa na viongozi wa nchi mbalimbali uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere JNICC






No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages