Katika mikakati mbalimbali ya kukuza uchumi wa blue leo benki ya CRDB imeingia makubaliano na kampuni ya bima ya Zanzibar (ZIC) ya kutoa huduma za uwakala wa bima katika miradi yote ya kimkakati inayotekelezwa Zanzibar. Makubaliano hayo yatahusisha pia utoaji wa Elimu ya bima kwa wakandarasi na idara zote za serikali ya mapinduzi ya Zanzibar.pichani, Mkuu wa Idara ya Bima wa Benki ya CRDB, Bi. Moureen Majaliwa na Mkurugeni Mtendaji wa Shirika la Bima Zanzibar (ZIC), Arafat Haji wakionyesha hati za makubaliano hayo.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Wednesday, August 25, 2021
Benki Ya CRDB Na ZIC Zaingia Makubaliano Ya Huduma Za Uwakala Wa Bima
Tags
BIASHARA#
Share This
About kilole mzee
BIASHARA
Labels:
BIASHARA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment