A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Friday, July 16, 2021

RAIS SAMIA AWASILI NCHINI BURUNDI KUANZA ZIARA YA KITAIFA YA SIKU MBILI

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwasili  katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa Melchion Ndadaye  Jijini Bujumbura Burudi kwa ajili ya kuanza ziara ya kitaifa ya siku mbili leo Julai 16,2021.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Makamu wa Rais wa Burundi Mkuu wa Burundi  Mhe. Prosper Bazombanza alipowasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa Melchion Ndadaye  Jijini Bujumbura Burudi kwa ajili ya kuanza ziara ya kitaifa  ya siku mbili leo Julai 16,2021.(Picha na Ikulu)




Mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwasili  katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa Melchion Ndadaye  Jijini Bujumbura Burudi kwa ajili ya kuanza ziara ya kitaifa ya siku mbili leo Julai 16,2021.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages