A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Tuesday, April 27, 2021

Ratiba ya mechi za Ligi Kuu ya Vodacom leo

 

Leo Aprili 27 Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea ikiwa ni mzunguko wa pili kuna mechi mbili ambazo zitachezwa kwa timu kusaka point tatu muhimu.

Uwanja wa Gwambina Complex itakuwa ni Gwambina FC v Mwadui FC, saa 10:00 jioni.

Uwanja wa Mkapa ni Simba v Dodoma Jiji, saa 1:00 usiku.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages