A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Friday, July 31, 2020

RAIS DKT. MAGUFULI APITA KWENYE DARAJA LA MKAPA RUFIJI MKOANI PWANI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipita na kukagua Daraja la Mkapa linalopita katika Mto Rufiji mkoani Pwani wakati akitokea Masasi Mtwara kwenye msiba wa Marehemu Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa leo tarehe 30 Julai 2020. Daraja hilo linalounganisha Pwani na Mikoa ya Lindi na Mtwara  lina urefu wa mita 970 na lilijengwa na Serikali ya Awamu ya Tatu chini ya Marehemu Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa. Lilifunguliwa Agosti 2, 2003
   

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages