Kundi la Maseneta wa Chama cha Republican nchini Marekani wameweka shinikizo dhidi ya mtandao wa kijamii wa Tik Tok, likiiutaka utawala wa Rais Donald Trump kutathmini kitisho kwamba app hiyo inayomilikiwa na China ya kusambaza video huenda itaingilia uchaguzi wa Marekani.
Kundi la Maseneta wa Chama cha Republican nchini Marekani wameweka shinikizo dhidi ya mtandao wa kijamii wa Tik Tok, likiiutaka utawala wa Rais Donald Trump kutathmini kitisho kwamba app hiyo inayomilikiwa na China ya kusambaza video huenda itaingilia uchaguzi wa Marekani.
No comments:
Post a Comment