Mkurugenzi wa Manispaa ya
Ubungo Beatrice
Dominic akitoa maelezo kwa viongozi
mbalimbali akiwemo Mkuu wa Wilaya Hiyo Mhe.Kisare Makori pamoja na Mwenyekiti wa CCM wa wilaya
hiyo Lucas Mgonja na
wengine wengi wakati walipofanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ikiwemo majengo
yanayojengwa soko kwaajili ya wafanya biashara ndogondogo (machinga), ambapo
ujenzi huo utakapo kamilika utagharimu kiasi cha shilingi milioni 480 za kitanzania.
Mkuu wa Wilaya Wilaya ya Ubungo Mhe.Kisare Makori (katikati), akizungumza
na Viongozi mbalimbali kutoka Chama Tawala cha CCM wakati alipofanya ziara ya
kukagua miradi mbalimbali katika wilaya hiyo.
Mmoja ya viongozi wa Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Ubungo akichomea wakati wa ziara ya Kamati ya Siasa wilayani humo kukagua mradi wa ujenzi wa soko la kisasa la wafanya biashara ambapo ujenzi huo utakaotumia shilingi milioni 480 za kitanzania
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic (kushoto), akipata maelezo kutoka kwa Meneja Mradi wa Ujenzi wa Soko la wafanya biashara ndogondogo, Nuru Liyau, ambapo ujenzi huo utakapo kamilika utagharimu kiasi cha shilingi milioni 480 za kitanzania
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic (kushoto), akipata maelezo kutoka kwa Meneja Mradi wa Ujenzi wa Soko la wafanya biashara ndogondogo, Nuru Liyau, ambapo ujenzi huo utakapo kamilika utagharimu kiasi cha shilingi milioni 480 za kitanzania
Muonekano wa Soko hilo
No comments:
Post a Comment