A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Friday, June 19, 2020

UVCCM UBUNGO WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI WAMUAHIDI KUMRUDISHA TENA IKULU:




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Ubungo jijini Dar es Salaam mara baada ya kuwasili wakati akitokea Mkoani Dodoma. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe akiwapungia mkono wa nanchi wa Ubungo jijini Dar es Salaam mara baada ya kuwasili wakati akitokea Mkoani Dodoma. 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwaaga Wananchi wa Ubungo jijini Dar es Salaam mara baada ya kusimama na kuwasaimia wakati akiwasili akitokea mkoani Dodoma.

Baadhi wa wanachana wa Chama cha Mapinduzi CCM wakihakiki kadi zao za Chama kwaajili ya kumdhamini Rais Magufuli kugombea  tena nafasi ya Urais.

Baadhi ya wanachama waliojitokeza katika mkutano huo.




Umati wa Wanainchi na wanachama wa CCM walipokwenda kutembelea miradi mbalimbali Picha zote na Brian Peter

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages