A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Tuesday, March 24, 2020

Rais mstaafu nchini Finland apatwa na ugonjwa wa corona


Ofisi ya Rais nchini Finland leo March 24, imethibitisha kuwa Rais Mstaafu wa Nchi hiyo Martti Ahtisaari amepatwa na corona, Mstaafu Martti mwenye umri wa miaka 82 aliongoza Finland 1994- 2000 na alipata tuzo ya Nobel ya amani mwaka 2008 kwa kazi yake ya kuleta amani Kimataifa.

Mpaka sasa Finland imethibitisha wagonjwa 700 wa corona na kifo kimoja.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages