A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Thursday, August 29, 2019

TGNP MTANDAO YAENDELEA KUTOA ELIMU KUPINGA UKATILI WA WANAWAKE NA WATOTO


Afisa Mwandamizi wa Taasisi ya Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) Deogratius Temba (kulia), akizungumza na wananchi pamoja na wanafunzi wakati Wa semina ya jinsia na maendeleo kujadili nafasi ya Serikali za mitaa katika kutekeleza Mpangokazi wa Taifa wa kupinga ukatili dhidi ya wanawake na watoto ikiwa ni muendelezo wa kutoa elimu ya MTAKUWA, TGNP Mtandao yawaelimisha wananchi wa Makumbusho kupitia semina hiyo. Hafla hiyo imefanyika jana mwananyamala ujiji Dar es Salaam.
Afisa Mwandamizi Ujenzi wa nguvu za pamoja wa Taasisi ya Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) Anna Sangai (kushoto), akizungumza na wananchi pamoja na wanafunzi wakati Wa semina ya jinsia na maendeleo kujadili nafasi ya Serikali za mitaa katika kutekeleza Mpangokazi wa Taifa wa kupinga ukatili dhidi ya wanawake na watoto ikiwa ni muendelezo wa kutoa elimu ya MTAKUWA, TGNP Mtandao yawaelimisha wananchi wa Makumbusho kupitia semina hiyo. Hafla hiyo imefanyika jana mwananyamala ujiji Dar es Salaam

Baadhi ya wakazi wa mtaa huo akichangia mada


No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages