A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Saturday, July 13, 2019

TIMU ZILIZOFUZU KWENDA NUSU FAINALI KOMBE LA PROPHET SUGUYE ZATAMBIANA


Beki wa Msongola Joging FC Mark Mome, akimdhibiti Mshambuliaji wa Fair Play FC wakati wa mchezo wa ligi ya Prophet Suguye Cup inayoendelea katika viwanja vya shule ya Msingi Misitu Kivule ambapo katika mchezo huo Fair Play iliibuka na ushindi wa 7-6 kwa mikwajui ya penati mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Mlinda mlango wa Msongola Joging Fc akijaribu kuufuata mpira amb ao ulimshinda nguvu nakwenda chini wakati wamchezo wao dhidi ya Fair Play FC wakati wa mchezo wa ligi ya Prophet Suguye Cup inayoendelea katika viwanja vya shule ya Msingi Misitu Kivule ambapo katika mchezo huo Fair Play iliibuka na ushindi wa 7-6 kwa mikwaju ya penati mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Wachezaji wa timu hizo wakiwania mpira wakati wa mchezo wa ligi ya Prophet Suguye Cup inayoendelea katika viwanja vya shule ya Msingi Misitu Kivule ambapo katika mchezo huo Fair Play iliibuka na ushindi wa 7-6 kwa mikwaju ya penati mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Nahodha na Mshambuliaji wa timu ya Kivule Forest FC Jovin Baroteli, mwenyejezi nyeupe akijaribu kuwatoka Mabeki wa Biashara FC wakati wa mchezo wao katika ligi ya Prophet Suguye Cup inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule, nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam ambapo mchezo huo umemalizika kwa timu ya Kivule Forest kuibuka na ushindi wa 3-1 mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Mlinda mlango wa Biashara FC akikamata mpira uliopigwa na mshambuliaji wa Kivule Forest, Jovin Baloteli, wakati wa mchezo wa ligi ya Prophet Suguye Cup inayoendelea katika viwanja vya shule ya Msingi Misitu Kivule ambapo ambapo mchezo huo umemalizika kwa timu ya Kivule Forest kuibuka na ushindi wa 3-1 mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Wachezaji wa timu hizo wakiwania mpira wakati wa mchezo huo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages