A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Monday, June 10, 2019

Bashungwa, Kichere kuapishwa leo

Rais Dk. John Magufuli leo anatarajiwa kuwaapisha Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Njombe, Charles Kichere, Ikulu jijini Dar es Salaam.

Hatua hiyo inatokana na mabadiliko madogo ya mawaziri ambapo alitengua uteuzi wa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Joseph Kakunda na kumteua Bashungwa ambaye alikuwa Naibu Waziri wa Kilimo.

Pia Rais Magufulu alitengua uteuzi wa Kichere aliyekuwa Kamishna Mamlaka ya Mapato (TRA), ambaye ameteuliwa kuwa Katibu Tawala Mkoa wa Njombe.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages