A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Monday, May 27, 2019

Yanga yajiandaa kumpokea Patrick ‘Papy’ Sibomana

Huenda ikawa winga wa kimataifa wa Rwanda anayekipiga katika klabu ya Mukura Victory Sports nchini humo, Patrick ‘Papy’ Sibomana amewasili kimyakimya jijini Dar kwa ajili ya kujiunga na klabu ya Yanga.

Sibomana ameaga kwao Rwanda kuja jijini Dar kumalizana na klabu ya Yanga kwa ajili ya msimu ujao.

Usajili huu unaenda kufanyika Yanga ikiwa ni sehemu ya maboresho ya kkosi cha timu kwa ajili ya msimu ujao.

Ikumbukwe Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera ameshasema usajili wa awamu hii utakuwa ni wa kufa mtu ili Yanga imara irejee.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages