A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Sunday, May 26, 2019

Wafungwa 25 wafariki baada ya kutokea ghasia gerezani


Katika tukio hilo Askari wapatao 20 wamejeruhiwa wakati wakifanya jitihada za kutuliza ghasia hizo katika gereza la Acarigua.

Gereza hilo lilijengwa kwa ajili ya kuhifadhi Wafugwa 250 lakini kwa sasa lina takribani Wafungwa 540.

Matukio ya ghasia na vifo wametokea kwa miaka 3 mfululizo nchini Venezuela ambapo Agosti, 2017 wafungwa 38 walifariki baada ya kuzuka kwa mgomo gerezani. Machi 2018, Wafungwa 68 walifariki katika ghasia zilizopelekea mlipuko wa moto.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages